• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ujenzi

IDARA YA UJENZI

Idara ya ujenzi ni mojawapo ya idara kuu zinazounda Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto. Lengo kuu ni kusimamia ujenzi wa majengo ya Serikali na kutoa ushauri wa namna iliyobora ya ujenzi huo;

Pia miradi ya Mashirika yasiyo ya ki – Serikali pamoja na kutoa ushauri wa ujenzi wa nyumba bora kwa wananchi , Kusimamia matengenezo ya magari, mitambo na nishati ya umeme kwenye majengo ya Serikali katika Halmashauri ya Wilaya.

Idara  ya Ujenzi husimamia ukarabati naujenzi wa majengo mbalimbali katika Halmashauri yaWilaya ya Kiteto  kama ifuatavyo:

  • Nyumba za waganga, zahanati na vituo vya afya
  • Nyumba za walimu wa shule za msingi na sekondari
  • Ujenzi wa madarasa katika shule za msingi na sekondari
  • Ujenzi/Ukarabati wa Ofisi za Idara mbalimbali za Halmashauri

Pia idara hutoa ushauri wa namna iliyobora ya ujenzi wa majengo katika miradi ya Mashirika yasiyo ya ki – Serikali pamoja na kutoa ushauri wa ujenzi wa nyumba bora kwa wananchi.

UMEME 

Idara ya ujenzi pia kuna kitengo cha umeme. Kitengo hiki kupitia mtaalamu wetu wa idara hufanya shughuli za ukarabati nauwekaji wa mfumo wa umeme katika majengo yote ya halmashauri na serikali yaliyopo hapa wilayani.

 MAGARI NA MITAMBO.

Idara ya ujenzi huyafanyia matengenezo madogomadogo magari na mitambo ya serikali katika karakana yake, pia huratibu na kukagua magari yote ya Halmashauri kwa ajili ya matengenezo mbalimbali kupitia mtaalamu wa magari wa Idara. Magari yote ya Halmashauri hukaguliwa kwanza na mtaalamu wa magari wa idara kabla ya kupelekwa kwa wazabuni kwa ajili ya matengenezo makubwa.


Matangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI July 23, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA UTENDAJI WA KIJlJI III August 26, 2021
  • TANGAZO LA KUKODISHA VIBANDA March 01, 2022
  • Tangazo kwa wanainchi wa Kiteto nafasi za ajira toka jeshi la uhamiaji January 02, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE KITENGO CHA AFYA KINGA KWA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA JULAI - SEPTEMBA 2022

    October 21, 2022
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE KIPINDI CHA ROBO YA PILI (OCTOBA-DISEMBA 2021)

    January 24, 2022
  • Maafisa wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto wakiwa wanapitia rejea ya mafunzo ya PLANREP iliyoboreshwa

    December 22, 2021
  • Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mh.Mbaraka Al Haji Batenga akizungumza kwenye kikao cha maendeleo ya Wilaya (DCC)

    December 16, 2021
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa