Imetumwa : August 31st, 2023
Walezi na wamiliki wa vituo vya kulea watoto wadogo mchana (Daycare Centres) wilayani Kiteto wamehimizwa kua mstari wa mbele katika kupambana na ukatili wa kijinsia wilayani hapo.
Rai hiyo imetolew...
Imetumwa : August 26th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto SSI Mbaraka Batenga Agosti 26,2023 amewaongoza wananchi wa mjini Kibaya katika zoezi la usafi wa Jumamosi ya mwisho wa mwezi katika stendi ya mabasi mjini hapo.
Zoezi hilo ...
Imetumwa : August 26th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto SSI Mbaraka Alhaj Batenga amewahimiza wananchi wa wilayani hapo kujenga tabia ya kufanya mazoezi kwaajili ya kuimairsha afya zao.
Agosti 26, 2023 Mh. Batenga aliwaongoza wa...