Imetumwa : July 14th, 2025
Vijana wilayani Kiteto wameaswa kuacha kukaa vijiweni pasipo na kazi na kujiunga kwenye vikundi ili waweze kunufaika na mikopo inayotelewa na halmashauri.
Rai hiyo imetolewa Julai 13...
Imetumwa : July 14th, 2025
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndg. Ismail Ali Ussi, amekabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya TZS 2,800,000 kwa Jeshi la Polisi kitengo cha Dawati la Jinsia ili kusaidia kitengo ...
Imetumwa : July 14th, 2025
Katika tukio la kipekee lililowagusa wakimbiza Mwenge Kitaifa na umati wa wananchi wa Ngabolo, mama mmoja amejifungua mtoto wa kiume masaa machache kabla ya uzinduzi wa jengo jipya la zahanati y...