• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KITETO KUANZISHA MRADI WA UFUGAJI SUNGURA KWENYE SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

Imetumwa : April 21st, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto ipo katika maandalizi kuanzisha mradi wa ufugaji wa sungura katika shule za msingi  sekondari wilayani hapa.

Hayo yameelezwa na  Mkuu wa Kitengo Lishe Wilayani hapa, Ndg. Beatrice Lutanjuka, kwenye Kikao cha Robo ya Tatu cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kilichofanyika katika ukumbi wa Maktaba ya Wilaya Aprili 16,2025.

Lutanjuka amesema kwamba lengo la mradi huo ni kuongeza ulaji vyakula vyenye asili ya wanyama, kwa wanafunzi na jamii pamoja na kuwajengea wanafunzi uwezo au maarifa ya ufugaji,  ambapo pia wataweza kwenda kupeleka ujuzi huo kwenye kaya zao na hivyo jamii kupata muamko wa ufugaji na ulaji wa vyakula vyenye asili ya wanyama.

Aidha aliongeza kwa kusema kwamba, lengo la mradi ni kuzifikia shule zote 127 zilizopo wilayani hapa ila wameanza na shule nane ambapo shule hizo wameshajenga mabanda kwaajili ya ufugaji wa sungura hao na kwa sasa wanasubiria wataalam wa mifugo kwenda kukagua mabanda hayo kabla Kitengo hakija wapelekea mbegu hizo za sungura ili waanze ufugaji.

Mwenyekiti wa kikao hicho ambaye pia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kiteto, Ndg. Mufandii Msaghaa, amekipongeza Kitengo cha Lishe na Ofisi ya Mkurugenzi kwa ujumla kwa jitihada hizo za mradi wa nyama kwenye shule.

Ndugu Msaghaa amesisitiza kuhakikisha kua mradi huo unafikia shule zote wilayani hapa haswa  sekondari za bweni kwani wanafunzi wa kutwa wakikosa chakula kitokanacho na wanyama shuleni, wakirudi nyumbani wanaweza kukipata.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI July 23, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA UTENDAJI WA KIJlJI III August 26, 2021
  • TANGAZO LA KUKODISHA VIBANDA March 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPTEMBA 2023 September 03, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TABIA MBAYA ZA WATUMUSHI ZINAHARIBU SIFA ZA TAASISI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KITETO LIMEMPONGEZA RAIS SAMIA.

    May 30, 2025
  • PONGEZI KWA WANANCHI KWA KUTUNZA MAZINGIRA

    April 28, 2025
  • TUUENZI MUUNGANO WETU

    April 27, 2025
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa