• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe watumishi |
    • Malalamiko |
Kiteto District Council
Kiteto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Teknolojia,Habari ,Mawasiliano na Mahusiano
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uchimbaji Madini
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Ardhi na Maliasili
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • This page is under construction
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Teknolojia Habari Mawasiliano na Mahusino


KITENGO CHA TEKNOLOJIA,HABARI,MAWASILILIANO  NA  MAHUSIANO ( TEHAMA)

UTANGULIZI

Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto ni miongoni mwa halmashauri zinazotekeleza muundo mpya wa halmashauri za Wilaya ambao uliidhinishwa 08.07.2011 na Waziri Mkuu Mh Mizengo P Pinda. Kwa sasa kitengo kina watumishi 5 ambao ni Afisa Mahusiano/habari , Maafisa TEHAMA 3 na Opereta wa kompyuta mmoja. Toka kuanzishwa kwake hadi sasa kitengo hiki kimejitahidi kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa ili kuweza kufanikisha lengo namba 9 la serikali ambalo ni kuimarisha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano. 

  Jukumu kubwa la kitengo hiki ni kusimamia masuala yote ya habari na mawasiliano ya halmashauri halikadhalika kusimamia mifumo yote ya halmashauri. Kitengo hiki kimegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni:

• Habari na Mahusiano

• TEHAMA

Majukumu ya Kitengo

• Kuandaa miadi ya mkurugenzi kukutana na kuongea na vyombo mbalimbali vya habari

• Kutoa ufafanuzi kwa vyombo vya habari na jamii kwa masuala mbalimbali yanayohusiana na halmashauri kwa kufuata maelekezo ya mkurugenzi

• Kuandaa machapisho mbalimbali kwa ajili ya kuhabarisha jamii kuhusiana na masuala mbalimbali ya halmashauri (machapisho kama vile vipeperushi, jarida, )

• Kuandaa mkutano wa waandishi wa habari (Press Conference) baina ya mkurugenzi/mwenyekiti wa halmashauri  na waandishi wa habari.

• Kuratibu na kusimamia waandishi wa habari katika shughuli mbalimbali za halmashauri kama vile baraza.

• Kuhakikisha halmashauri inasajili na kutumia barua pepe za serikali (Government Mailing System) kwa ajili ya kutuma na kupokea taarifa za kiserikali.

• Kusimamia mawasiliano ya ndani na nje ya ofisi (Internal and External Communication)

• Kusimamia Mifumo yote ya halmashauri,ifuatayo ni mifumo inayosimamiwa

• Mfumo wa Hcmis(Lawson)

• Mfumo wa Rasilimali Fedha (Epicor)

• Mfumo wa Prem

• Mfumo wa Mapato ( Lgrcis)

• Kusimamia Mashine za kieletroniki zinazokusanya Mapato(POS Machine)

Kusimamia Matengenezo yote ya vifaa vya TEHAMA kwa kuhakikisha vifaa vyote vipo katika hali nzuri

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI July 23, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA UTENDAJI WA KIJlJI III August 26, 2021
  • TANGAZO LA KUKODISHA VIBANDA March 01, 2022
  • Tangazo kwa wanainchi wa Kiteto nafasi za ajira toka jeshi la uhamiaji January 02, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE KITENGO CHA AFYA KINGA KWA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA JULAI - SEPTEMBA 2022

    October 21, 2022
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE KIPINDI CHA ROBO YA PILI (OCTOBA-DISEMBA 2021)

    January 24, 2022
  • Maafisa wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto wakiwa wanapitia rejea ya mafunzo ya PLANREP iliyoboreshwa

    December 22, 2021
  • Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mh.Mbaraka Al Haji Batenga akizungumza kwenye kikao cha maendeleo ya Wilaya (DCC)

    December 16, 2021
  • Angalia zote

Video za matukio ya kiofisi na kitaifa.

MWENGE MAKABIDHIANO MKOA WA MANYARA 2018
Video Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Hati ya Mshahara

Viunganishi vya Tovuti Nyingine

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • MANYARA
  • NECTA
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Kibaya-Kiteto

    Anwani ya Posta: P.o.Box 98, Kibaya-Kiteto

    Simu ya Mezani: +255 027-2552099

    Simu ya kiganjani:

    Barua Pepe: ded@kitetodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki@2017 Halimashauri ya Kiteto.Haki zote zimehifadhiwa